Thursday, March 18, 2010

MUSA NA LISA WALILIWA MIKOANI

Baada ya kubamba katia kipindi cha Burudani ni nyumbani,watangazaji mahili Musa na Lisa waliliwa mikoani kwa kupokea kila siku barua za mwaliko kutoka katika mikoa mbalimbali ikiwemo Tanga, Mbeya, Mtwara,Mwanza, Tabola na mengine mengi. kwa mujibu wa Musa na Lisa wamesema walikuwa wanajipanga na hivi karibuni watasema wataanza mkoa gani

No comments: