Saturday, May 15, 2010

Musa na Lisa wakikabithi tuzo


Rapa bora wa band 2009 - 2010 Kharid Chokoraa akipokea tuzo kutoka kwa musa na lisa ambao ni watangazaji wa kipindi cha Burudani ni Nyumbani kinachorushwa kupaitia TBC1 kila jumamosi saa 12 jioni. 

No comments: