Saturday, March 20, 2010

Akudo Impact yaipua vibayo viwili, Heshima kwa wanandoa iliyotungwa na Cristian Bella na nyingine Ubinafsi iliyotungwa na Tarsis Masela

Toto ze Bingwa (Rapa wa Akudo Impact)
Akudo Impact wakiwa kazini

Rais wa Akudo Impact Cristian Bella a.k.a Obama,. kwa taarifa tu ni kwamba Bell amefiwa na kaka yake na anatalajia kuondoka kwenda Congo baada ya kumaliza tu show za pasaka. Burudani ni Nyumbani inampa pole sana na inamtakia safari njema.


No comments: