Saturday, March 20, 2010

Kweli nimeamini Burudani ni Nyumbani Mh Mohammed Dewji Azidiwa

Ngoja nijaribu sijui nitachekesha
Kweli kila mtu na kazi yake, sijui niluke chini.
Mh Mohammed Dewji alishindwa kujizuia baada ya kupagawishwa na bendi ya Twanga Pepeta, cha kushangaza aliendanao sambamba na kuwaachia maswali wapenzi na wadau wa muziki kwamba amejifunzia wapi? lakini baada ya mda akawajibu kuwa ni mfuatiliaji mzuri sana wa kipindi cha Burudani ni Nyumbani kinachorushwa kupitia Tbc1.

No comments: