
Mh Mohammed Dewji alishindwa kujizuia baada ya kupagawishwa na bendi ya Twanga Pepeta, cha kushangaza aliendanao sambamba na kuwaachia maswali wapenzi na wadau wa muziki kwamba amejifunzia wapi? lakini baada ya mda akawajibu kuwa ni mfuatiliaji mzuri sana wa kipindi cha Burudani ni Nyumbani kinachorushwa kupitia Tbc1.
No comments:
Post a Comment