Tuesday, July 13, 2010
Saturday, May 15, 2010
Musa na Lisa wakikabithi tuzo
Rapa bora wa band 2009 - 2010 Kharid Chokoraa akipokea tuzo kutoka kwa musa na lisa ambao ni watangazaji wa kipindi cha Burudani ni Nyumbani kinachorushwa kupaitia TBC1 kila jumamosi saa 12 jioni.
Wanamuziki wa twanga pepeta
Baadhi ya wanamuziki wa twanga pepeta wakiwa kwenye pozi na mwenyekiti wa Afrcan stars Baraka Msilwa huku wakionyesha alama ya vidole 3 wakamaanisha tuzo 3 walazozinyakuwa.
King Kiki na Chaz Baba
Mwanamuziki wa twanga pepeta chaz baba kingunge akipokea tuzo ya nyimbo bora ya kiswahili ya band kutoka kwa king kiki.
Sunday, May 2, 2010
Saturday, March 20, 2010
Kweli nimeamini Burudani ni Nyumbani Mh Mohammed Dewji Azidiwa

Mh Mohammed Dewji alishindwa kujizuia baada ya kupagawishwa na bendi ya Twanga Pepeta, cha kushangaza aliendanao sambamba na kuwaachia maswali wapenzi na wadau wa muziki kwamba amejifunzia wapi? lakini baada ya mda akawajibu kuwa ni mfuatiliaji mzuri sana wa kipindi cha Burudani ni Nyumbani kinachorushwa kupitia Tbc1.
Akudo Impact yaipua vibayo viwili, Heshima kwa wanandoa iliyotungwa na Cristian Bella na nyingine Ubinafsi iliyotungwa na Tarsis Masela
SIO KUIMBA TU NA HUKU NIMO!
Salam ni muhimu
Friday, March 19, 2010
Dogo Rama na Luiza Mbutu wakifanya vitu vyao.
Subscribe to:
Posts (Atom)